Your business plan must focus the environment where you want to establish your business activities. Kwahiyo mipango iendane na mazingira uliopo. Asante
Tigopesa na m-pesa pia inategemea na eneo unalotegemea kufungua. Kama ni kariakoo baada ya miezi 6 wewe ni tajiri kaka maana huwezi kukosa laki 5 hadi 7 kwa mwezi, tena vile vibanda visiwe vingi sana ukibahatika uko pekeako itakua poa sana, ngoja nimualike Nkobe anaweza kutoa wazo zuri zaidi
inatosha kwa kuanzia lkn ni bora ukawa na shughuri ingine kwa ajili ya mambo ya kifamilia lkn ni tuambie yafuatayo, unaishi wapi ? ni mjini au kijijini? kwa sasa unafanya shughuri gani? hiyo 2m umeipataje? unaweza jibu hapa au pm
Laki 5 kwa mwezi x 6= 3M,,3M ni utajiri ee? Ila wazo zuri mkuu.
Ndizi toka mbeya?.
Mkungu 5000/2000000=mikungu 400.
Kuuza 10,000@mkungu=4000,000.
Transport 800,000.
Other cost 200,000.
Profit approx 1000,000 per each trip.
You do one trip per two week,there you got an income of 2000,000/= per month.
Ndizi toka mbeya?.
Mkungu 5000/2000000=mikungu 400.
Kuuza 10,000@mkungu=4000,000.
Transport 800,000.
Other cost 200,000.
Profit approx 1000,000 per each trip.
You do one trip per two week,there you got an income of 2000,000/= per month.