umeshatongozwa ? kuna uzi uliuleta hapa majuzi kuwa hutongozwi... ukaweka na bla bla kibao sijui smart kichwan had mwili... nikwambie kitu hata kama mzuri vipi ukajikuta una kiburi kilichojaa na komfidensi uliyoielezea unayo na mashauzi nani atakutaka ? utazeekea kwenu,,,, ooh nmesahau ushapata mchizi naona unatafuta logde, kazi njema