Msaada wenu jamani

Msaada wenu jamani

girlie

Senior Member
Joined
Jul 14, 2017
Posts
170
Reaction score
172
Mambo zenu naulizia lodge nzuri sinza kwa 20,000 yenye ac,pasafi,kuwe na heater na maji ya kutosha.
 
Duh kuna wadada bado wanalazwa log
 
umeshatongozwa ? kuna uzi uliuleta hapa majuzi kuwa hutongozwi... ukaweka na bla bla kibao sijui smart kichwan had mwili... nikwambie kitu hata kama mzuri vipi ukajikuta una kiburi kilichojaa na komfidensi uliyoielezea unayo na mashauzi nani atakutaka ? utazeekea kwenu,,,, ooh nmesahau ushapata mchizi naona unatafuta logde, kazi njema
 
umeshatongozwa ? kuna uzi uliuleta hapa majuzi kuwa hutongozwi... ukaweka na bla bla kibao sijui smart kichwan had mwili... nikwambie kitu hata kama mzuri vipi ukajikuta una kiburi kilichojaa na komfidensi uliyoielezea unayo na mashauzi nani atakutaka ? utazeekea kwenu,,,, ooh nmesahau ushapata mchizi naona unatafuta logde, kazi njema
Hahaha
 
Back
Top Bottom