wakusepa
Member
- Jan 24, 2013
- 83
- 5
nimehitimu form 4. Nina
alama hizi kiswahili
B,geography B,english
C,history C,civics B,physics
D,chemistry D,biology
C,mathematics D.
Jaman nahtaj kwenda moja
kwa moja nikasome
diploma aidha chuo cha
afya au chochote kile ila
isiwe diploma ya ualimu.na
hicho kiwe cha gharama
nafuu namaanisha kiwe cha
serikali, ushaur wenu kwa
alama hzo je ntapata chuo?
NB.ualim siwez,jaman na
wala gharama za vyuo vya
private sina uwezo kbsa
alama hizi kiswahili
B,geography B,english
C,history C,civics B,physics
D,chemistry D,biology
C,mathematics D.
Jaman nahtaj kwenda moja
kwa moja nikasome
diploma aidha chuo cha
afya au chochote kile ila
isiwe diploma ya ualimu.na
hicho kiwe cha gharama
nafuu namaanisha kiwe cha
serikali, ushaur wenu kwa
alama hzo je ntapata chuo?
NB.ualim siwez,jaman na
wala gharama za vyuo vya
private sina uwezo kbsa