kalanga1
JF-Expert Member
- Apr 10, 2017
- 318
- 432
A. alaykum, za leo ndugu zangu?
Naombeni msaada wenu, mimi nataka nifunge Android redio kwenye gari pamoja na zile Tv za nyuma ya siti lakini nashindwa kujua kampuni ipi ni bora na ipi ni fake, nimejaribu kwenda kariakoo nimepita kuuliza zinacheza kwenye laki na nusu hadi laki na 80.
Nikija mtandaoni hawa wanaojitangaza wanaanzia laki 3 sasa nashindwa kujua lipi ni lipi. Sasa kwa mwenye uelewa wa hizi radio anielekeze niangalie kitu gani ili nijue ipi ni nzuri na ipi ni fake?
Au kwa walio funga tayari kwenye magari yao waje hapa wanipe ushauri wakati wa kununua niangalie kitu gani na gani, au wanielekeze labda walipo nunulia kwa bei nzuri na OG na mm nikapate.
Ahsanteni sana.
Naombeni msaada wenu, mimi nataka nifunge Android redio kwenye gari pamoja na zile Tv za nyuma ya siti lakini nashindwa kujua kampuni ipi ni bora na ipi ni fake, nimejaribu kwenda kariakoo nimepita kuuliza zinacheza kwenye laki na nusu hadi laki na 80.
Nikija mtandaoni hawa wanaojitangaza wanaanzia laki 3 sasa nashindwa kujua lipi ni lipi. Sasa kwa mwenye uelewa wa hizi radio anielekeze niangalie kitu gani ili nijue ipi ni nzuri na ipi ni fake?
Au kwa walio funga tayari kwenye magari yao waje hapa wanipe ushauri wakati wa kununua niangalie kitu gani na gani, au wanielekeze labda walipo nunulia kwa bei nzuri na OG na mm nikapate.
Ahsanteni sana.