Mke wangu ananyonyesha mtoto wa umri wa mwaka 1na mwezi 1.
Tatizo siku zake zinabadilikabadilika mfano mwezi uliopita alikwenda siku zake tarehe 22 na sasa leo tena ameanza kublidi nashindwa kupanga uzazi kwa kalenda
(a)Je ndio ilekusema mama anayenyonyesha hashiki mimba
(b)na kama ananyonyesha zaidi ya mara 10 kwa siku na mtoto anakula vyakula vingine inaweza kusaidia asishike mimba
(c)sitaki ashike mimba nisaidieni njia sahihi ya kutumia kuepuka mimba
Tatizo siku zake zinabadilikabadilika mfano mwezi uliopita alikwenda siku zake tarehe 22 na sasa leo tena ameanza kublidi nashindwa kupanga uzazi kwa kalenda
(a)Je ndio ilekusema mama anayenyonyesha hashiki mimba
(b)na kama ananyonyesha zaidi ya mara 10 kwa siku na mtoto anakula vyakula vingine inaweza kusaidia asishike mimba
(c)sitaki ashike mimba nisaidieni njia sahihi ya kutumia kuepuka mimba