wakuu heshima yenu.
_mi mwenzenu nimeoa ila mke wangu hana hamu ya tendo la ndoa na mimi hashiki ipo juu sana kiasi kwamba kila siku asubuhi na jioni nikipewa nafurahia tu.
_toka nimeoa sijawahi kufanya nje ya ndoa ila sasa naona kama nateseka na namtesa na yeye pia maana siku nataka inabidi nifanye pasipo ridhaa yake hata kama nimemuandaa kiasi gani linapokuja swala la sex akili yake inakuwa haipo kabisa.
_nisaidieni hiyo dawa maana kutoka nje ya ndoa najua madhara yake.
Mwambie aache kutoka nje ya ndoa ili awe anafanya na wewe tu. Hiyo ndio dawa hakuna kingine
Duh pole sana how come hana hamu na wewe? Mnagombana mara kwa mara au anachoka kazi nyingi?
Lucky woman maskin hajui kucheza na bahati
Mwenzio huko moshi amekata kigegedeo chake na kisu akakitafuna. Labda ujaribu hiyo
wakuu heshima yenu.
_mi mwenzenu nimeoa ila mke wangu hana hamu ya tendo la ndoa na mimi hashiki ipo juu sana kiasi kwamba kila siku asubuhi na jioni nikipewa nafurahia tu.
_toka nimeoa sijawahi kufanya nje ya ndoa ila sasa naona kama nateseka na namtesa na yeye pia maana siku nataka inabidi nifanye pasipo ridhaa yake hata kama nimemuandaa kiasi gani linapokuja swala la sex akili yake inakuwa haipo kabisa.
_nisaidieni hiyo dawa maana kutoka nje ya ndoa najua madhara yake.
mkuu mada yangu ni mimi sitaki kuwa na hamu kama dawa unayo nisaidie.
So unataka kuhasiwa? Kila la heri hata ukiamua kuwa shoga kabisa poa tu maana vijana wa sasa mnatujia na vituko vya kila aina.unataka dawa ya kuondoa hamu ya kut8mba?..mwisho utaomba dawa ya kukupa hamu ya kut8mbwa!
umeharibu mkuu
hata hivyo nimepata ushauri toka kwa mdogo wangu . joss1973
mkuu. RR nitazingatia ushauri wako asante hii issue ni serious kweli na hata sasa hivi tulikuwa tunaongozana wote kwenda home ila mimi nimepitia bar kupasha nikifika home ni usingizi tu
Duh pole sana how come hana hamu na wewe? Mnagombana mara kwa mara au anachoka kazi nyingi?
Lucky woman maskin hajui kucheza na bahati
Kumbe ni bahati ee?