Msaada wenu, nasumbuliwa na Mafua

Msaada wenu, nasumbuliwa na Mafua

Zaman nlkua nafanya xana mazoez nkaacha nkaanza kufanya kaz ngum ila nazo.pia nliacha nkakaa kam miez 2 tatzo hlo lkaanza doctor alnambia iyo inaweza kua chanzo, "swali kwann mafua na maumivu aya yamekua ya kudumu" mpaka Nshaenda kupima,malaria,urine,HIV lakn pote negative.

Nishawai kuwa na rafiki alisumbuliwa hivyohivyo na kila dawa aliyoambiwa anatumia lkn wapi siku moja kuna daktar alimuuliza nyumbani kwake kama kuna carpet akasema ndio akaambiwa akalitoe asafishe ndani na ikawa pona yake tokea hapo so chunguza nyumbsni unazungukwa na nini vitu kama carpet/mito/nguo zisizokauka nk
 
Nishawai kuwa na rafiki alisumbuliwa hivyohivyo na kila dawa aliyoambiwa anatumia lkn wapi siku moja kuna daktar alimuuliza nyumbani kwake kama kuna carpet akasema ndio akaambiwa akalitoe asafishe ndani na ikawa pona yake tokea hapo so chunguza nyumbsni unazungukwa na nini vitu kama carpet/mito/nguo zisizokauka nk
Oky, hyo n mafua, je kuuxu maumivu nfanye nn!??
 
Back
Top Bottom