Tally q
Member
- Aug 9, 2018
- 12
- 2
Wakuu!
Nina Toyota Brevis ina engine ya 1jz fse D-4. Engine hiyo haipo sawa, mara kwa mara inanisumbua kwa kutoa moshi mwingi na kuzima zima ghafla.
Nimebadili nozzle mkanda mzima, nimebadili sensor zote, enjection n.k bila mafanikio
Baadhi ya mafundi wananishauri nichukue engine nyingine kwakuwa hata nikifanya overhaul katika mashine hiyo baada ya muda mfupi itasumbua tena. Binafsi engine za JZ kwasasa nina wasiwasi nazo.
Hivyo naomba kujuzwa, Ni engine gani tofauti na hizo ambayo itafaa kwenye brevis bila modification yoyote.
Nina Toyota Brevis ina engine ya 1jz fse D-4. Engine hiyo haipo sawa, mara kwa mara inanisumbua kwa kutoa moshi mwingi na kuzima zima ghafla.
Nimebadili nozzle mkanda mzima, nimebadili sensor zote, enjection n.k bila mafanikio
Baadhi ya mafundi wananishauri nichukue engine nyingine kwakuwa hata nikifanya overhaul katika mashine hiyo baada ya muda mfupi itasumbua tena. Binafsi engine za JZ kwasasa nina wasiwasi nazo.
Hivyo naomba kujuzwa, Ni engine gani tofauti na hizo ambayo itafaa kwenye brevis bila modification yoyote.