Mmmh.. Pole sana! Na K isivyokuwa na siri..ikitumika sana inachoka,inatanuka na inazidi kuwa na sura mbayaaa huo ndio ukweli...
Madawa sio mazuri wachina hawa ndio kabisaaa!!...Umerudi bongo kipumzishe sasa,ili irudi katika hali yake japo kidogo..ukianza tena ukakutana na wazee wa mkuyati ndugu yangu,utatengeneza bahari sio bwawa tena...
Usihangaike na wachina
ukiniPM ntakusaidia mbinu za kujaribu kufanya.
Nikiweka hapa wakaka watajua miujanja yetu.
Mimi mnanichanganya napowasikia msemavyo kua hiyo kitu huchoka wakati mara kadhaa hiyo kitu husifiwa maneno kama " Haluwa haina makombo" " Haiwezi kua kipo" Njia ya meli haiachi alama" n.k
kujiridhisha katika hili kuna membar anaweza kutupa source biologically kama hivyo ndivyo ?
mmh, naskiaga limao au ndimu ni kiboko kwa ku'rehab mashine zilizochoka! kuna ukweli eti...
niliachana na childhood sweetheart nikaja ughaibuni,baada ya maisha kunishinda nimeamua kurudi bongo,nimemtafuta yule mpenzi wa zamani,bado hajaoa na bado ananipenda....tatizo linakuja huku ughaibuni....'nimetumika' vya kutosha....na nikikumbuka yeye size yake ilikuwa kawaida,nimchomoleee nisije kuaibika???????bado nampenda pamoja na mapungufu mengine
Ndiyo umeamka ? Alafu umeamka leo mkali hivyo ? Unavyomtisha Rebeca! Asijaribu kwa wachina, utamfanya arudi alikotoka! Mpeni angaa hope atlist kidogo.
niliachana na childhood sweetheart nikaja ughaibuni,baada ya maisha kunishinda nimeamua kurudi bongo,nimemtafuta yule mpenzi wa zamani,bado hajaoa na bado ananipenda....tatizo linakuja huku ughaibuni....'nimetumika' vya kutosha....na nikikumbuka yeye size yake ilikuwa kawaida,nimchomoleee nisije kuaibika???????bado nampenda pamoja na mapungufu mengine
Usihangaike na wachina
ukiniPM ntakusaidia mbinu za kujaribu kufanya.
Nikiweka hapa wakaka watajua miujanja yetu.
niliachana na childhood sweetheart nikaja ughaibuni,baada ya maisha kunishinda nimeamua kurudi bongo,nimemtafuta yule mpenzi wa zamani,bado hajaoa na bado ananipenda....tatizo linakuja huku ughaibuni....'nimetumika' vya kutosha....na nikikumbuka yeye size yake ilikuwa kawaida,nimchomoleee nisije kuaibika???????bado nampenda pamoja na mapungufu mengine
Kuhusu dawa za Kichina kwa kweli hilo sijui. Ila najua ughaibuni kuna mambo ya vaginal rejuvenation na vaginal tightening.
Cheki mwenyewe uone:
Atlanta Center For Aesthetic Vaginal Surgery | Atlanta Labiaplasty and LVR | LVRAtlanta.com
Cheki hizi before and after pics:
Before and After Photos of Vaginal Rejuvenation | LVRAtlanta.com
"kama vp mpe tigo umalize kesi.............."
sometimes its an an art
kama guitar dogo lifanye hall li-accomodate watu wadogo
na kama guitar kubwa allow the hall to expand.
Mjini hapa utapewa hata mkaa na watu wanaingiza siku
sidhani kama kuna dawa ya kunywa.
Una maana gani ukisema 'nimetumika vya kutosha'...hiyo ni relative term ambayo maana yake inaweza ikawa tofauti kwa wachangiaji tofauti. Kimaumbile, tissue za uke ni elastic hivi..hutanuka kutokana na reflexes fulani fulani hivi na kuwa kubwa, na pia hurudi katika hali yake ya awali baada ya hiyo dharma kupita. Hivyo sitegemei mwanamke aliyekula bakora za kutosha kupwaya kiasi cha kutaka kumtosa mpenzi wako. Hata kama wachapaji wa huko ughaibuni walikuwa wamechanjia madodoki!
Ila kama unadhani utamkwaza mpenzio huyo kwa kuona maumbile yako yameharibiwa kidogo na matumizi....kuna mazoezi yanaitwa 'Kegel exercise'. Google na yatakuelekeza unafanyaje. Unaweza yafanya popote ulipo, nyumbani, kazini hata kanisani...kwani unacheza tu na kuban-na-kuachia misuli ya ndani ya uke kama unabana mkojo hivi, haya yanasaidia sana kutight uke ukawa mnato ka wa bikra! Na zaidi unapoweza kucontrol hiyo misuli, inakusaidia kufanya hivyo hata wakati wa tendo...unabana unaachia unabana unaaachia na raha yake waliowahi fanyiwa hivyo watatestify humu.
Type nyingine ya Kegel like exercise ni kuwa...unapobanwa na mkojo chelewa kwenda kukojoa mpaka kibofu kijae kweli kweli na mkojo umebana kama unataka kutoka, then nenda chooni, kaa (choo cha kukaa preferably), halafu achia mkojo kidogo kama kwa sekunde 3 - 5, then bana! Itakuwa ngumu but dont give up kaza misuli yote hadi ubane ukatike...then unaachia tena for few seconds, kisha unabana....endelea hivyo mpaka mkojo uishe. Kisha unaanza kuujaza tena...hii inatight misuli ya ukeni, unakuwa mnato, na pia unaweza control hiyo misuli kuongeza raha wakati wa tendo..
he we nionee huruma,na tigo waiharibu tena?