Msaada wenu tafadhali

danmarc

JF-Expert Member
Joined
Feb 25, 2012
Posts
567
Reaction score
115
Habarini wanajamvi naombeni mnijuze katika hili
Mwaka huu niliapply kupitia tcu na nikachaguliwa bachelor ya IT pale IFM na nikapata mkopo . Lakini sikuwa tayari kujiunga na hii degree hivyo nimetemana nayo . Lakini na mpango mwakani nifanye application tena. Sasa naomba nijue taratibu za kufanya ili mwakani niwe eligible kuomba mkopo pamoja na kuapply chuo . Mana nilisikia ni lazima kwanza taarifa zangu zifutwe kwenye database za huko tcu na heslb .naamini mtanisaidia ndugu zangu
 
We ni farasi . inaonesha haujielewi. Kama hukuipenda IT ya ifm Si palikuwa Na nafasi ya kubadilisha course. Au Na yenyewe hukuiona. Transfer zimefanyika nyingi tu. We ulikuwa wapi? Hadi medicine tuliongeza nafasi. Alafu nahisi nimeishakufahamu. We ndio yule uliyekula hela ya bodi kisha ukaenda nchi flani .now umedisqual. Unakuja kutudanganya oooh nmechaguliwa ifm!.
 
ungebadili kozi tu ila mda ushapita ndugu yangu.......andika barua heslb wasitishe mkopo wako na barua nyingine peleka chuo waambie unaacha chuo. after that kila kitu kitakua sawa.... m mbona nilichaguliwa udsm kozi fulani bt nikabadili na nimefanikiwa.
 
usifanye regstration kaa2 nyumbn watarudxha jna lako tcu na heslb pia.
 

Mkuu mbonaumeongea kwa jazba sana hv.mimi ilinibidi niichague hyo IT katika second round application . Lakini sikuwa na mapenzi nayo. Na kuhusu swala la transfer sio kwamba sikuomba lahasha .niliomba uhamisho kwenda kozi ya afya lakini napo ilishindikana kiukweli sio hvyo tu bali rushwa na kujuana kunetuponza wengi .simaanishi kuwa wote walitoa rushwa hapana ila kwenye nsafara wa mamba kenge hawakosi na nina ushahidi wa rafiki yangu kabisa ambaye tulipangwa naye IT pale IFM lakini baada ya kutoa kitu kidogo akahamishiwa bugando tena kwa alama nilikuwa namzidi .kwa hyo kaka MIMI SIJADANGANYA MTU HUU NDO UKWELI WA MAMBO NILIYOYAPITIA na uelewe kuwa katika hii nchi hakuna haki KAKA. siku njema bro.Halafu nimeku PM namba yangu unieleweshe inshu ya TAMOSE na ningeomba uni pm namba yako kama hutamind....
 

Sawa mkuu .je ipi ni njia nzuri ya kutuma hizi barua kati ya email ,posta au kupeleka direct kwenye ofisi zao ?
 
usifanye regstration kaa2 nyumbn watarudxha jna lako tcu na heslb pia.
Ni uhakika mkuu maana nasikia watu wa chuo wanaweza cheza mchezo mchafu?
 
mchezo mchafu gan tena boy na ujasajiliwa chuon
 
mchezo mchafu gan tena boy na ujasajiliwa chuon

Niliambiwa kuwa kule chuoni kuna watu wanaweza wakafoji ili mkopo uingie kwenye akaunti zao(ila sijaprove hili mkuu , nimeskia tu kwa watu)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…