Lauma Raj
Senior Member
- Sep 3, 2014
- 129
- 14
Mke wangu ana matatizo haya;
kutokwa na vipele ndani ya UKE na kwenye mashavu,
kimkojomkojo cha mara kwa mara kikiambatana na maumivu,
ila tatizo hili hutokea mara tu baada ya kujamiiana kwa baadhi ya style japo hatujaifahamu,
na kingine hajapata hedhi toka alipojifungua tarehe 01-04 mwaka huu, je ni kawaida au kuna tatizo?
kutokwa na vipele ndani ya UKE na kwenye mashavu,
kimkojomkojo cha mara kwa mara kikiambatana na maumivu,
ila tatizo hili hutokea mara tu baada ya kujamiiana kwa baadhi ya style japo hatujaifahamu,
na kingine hajapata hedhi toka alipojifungua tarehe 01-04 mwaka huu, je ni kawaida au kuna tatizo?