Hata Mimi nahisi hivyo lakini cjui anadawa Kama unajua mbinu za Mimi kujiondoa nisaidie mkuuMtumie tu boss maana una asilimia 90 kuituma lakini akikublock usirudi huku. Maana naelewa baada ya kupokea hilo hilo itapigwa block kila sehemu
Nitumie picha yake PM mm nitamtumia hiyo 1M aje kwako.Mkuu yuko classic sana hata Kama ni ww utalainika tuu!
Member since 2016Senior Member.
Mwambie apande malori aje atapanda ndege wakati wa kurudi
Mwambie unamkatia E-ticket halafu utamtumia namba.. Msikie atakuambia nini..!!Wanajamii habarini naombeni ushauri Kuna Dada huku JF kaniomba nimtumie nauli anadai ametokea kunipenda sana na huwa haishi kuniota ndotoni ila anasema nimtumie nauli 1 million hajawai panda ndege naombeni ushauri wanajamii maana nimeshaanza kulegea nahisi nina asilimia 90% kumtumia nishaurini cjui anadawa 🥺
Siku yeyote utakayoona inafaa,maana hiyo 1M iko mfuko wa shati.Ngoja ntakutumia ila sio Leo akinidanganya tuu nitamwanika umjue