Msaada wenu unahitajika haraka sana

Mwambie unamkatia E-ticket halafu utamtumia namba.. Msikie atakuambia nini..!!
Hiyo siifahamu ila nilimwambia akope akija ntamlipa kaanza kunimind sana kwamba simpendi Wala kumjali ila nahisi Kuna kitu
 
Hii ni chai km chai nyingine ....ila hii haina sukari.
 
Utalizwa...!!! Mpe tu kama utaamua kumsaidia..
Unajua sijasema tuu alinipigia mpaka video call WhatsApp ila mi nimehisi atakua ndio kazi yake huku JF kudanga we hujawahi kutana nae huko PM
 
Mkuu Niko serious sio chai cwezi singizia uongo ili nipate nn ila nahitaji waliowahi kutana nae labda wanachakunishauri
We bwege unamwelezea mwenzio utazani mlikuwa wote pm si umtajie jinaurahsishe mambo
 
Hapo unataka kupigwa kifala sana shituka
 
Humu ndani kila mtu tajiri,ushashiba mbaazi kwa shemejio,unaanza kutusumbua hapa,wakati unasubiri wakalale na wewe uegeshe ubavu kwenye hayo makochi,pumbavu kweli wewe,ushawahi kuishika hiyo milioni?
 
***** mtumie mama yako iyo hela achana nae million nauli!? Tunatofautiana lakin mi kiwango changu cha mwisho kuhonga ni laki tena yenye sababu za mzingi ndio itoke.
 
Humu ndani kila mtu tajiri,ushashiba mbaazi kwa shemejio,unaanza kutusumbua hapa,wakati unasubiri wakalale na wewe uegeshe ubavu kwenye hayo makochi,pumbavu kweli wewe,ushawahi kuishika hiyo milioni?
Mkuu nisaidie nijitoe kwenye hili wimbi tafadhali nipo serious
 
Hapo unataka kupigwa kifala sana shituka
Mkuu alikua online amenimind sana kwamba nimempost mambo ya faragha hadharani naona amenila block 😭 ameniambia nimtumie laki 1 kumuomba msamaha aniunblock
 
***** mtumie mama yako iyo hela achana nae million nauli!? Tunatofautiana lakin mi kiwango changu cha mwisho kuhonga ni laki tena yenye sababu za mzingi ndio itoke.
Hayajakukuta mkuu 🥺 hayajakukuta nakwambia usiombe chonde chonde mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…