Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utalizwa...!!! Mpe tu kama utaamua kumsaidia..Hiyo siifahamu ila nilimwambia akope akija ntamlipa kaanza kunimind sana kwamba simpendi Wala kumjali ila nahisi Kuna kitu
Hii ni chai km chai nyingine ....ila hii haina sukari.Wanajamii habarini naombeni ushauri Kuna Dada huku JF kaniomba nimtumie nauli anadai ametokea kunipenda sana na huwa haishi kuniota ndotoni ila anasema nimtumie nauli 1 million hajawai panda ndege naombeni ushauri wanajamii maana nimeshaanza kulegea nahisi nina asilimia 90% kumtumia nishaurini cjui anadawa [emoji3064]
Hapana..Unajua sijasema tuu alinipigia mpaka video call WhatsApp ila mi nimehisi atakua ndio kazi yake huku JF kudanga we hujawahi kutana nae huko PM
Erythrocyte nini maana nchi ipo ukingoniAnasema yupo DSM mbna ni maarufu hapa JF
We bwege unamwelezea mwenzio utazani mlikuwa wote pm si umtajie jinaurahsishe mamboMkuu Niko serious sio chai cwezi singizia uongo ili nipate nn ila nahitaji waliowahi kutana nae labda wanachakunishauri
Nitumie picha na namba yake nimtumie,ww kazi yako ni kumla tu.!Uko serious mkuu 😳 na hiyo 1m naipataje
Hahahahaaaa umechekesha sana mkuu, mbinu hapo nikumtumia tu mzeeHata Mimi nahisi hivyo lakini cjui anadawa Kama unajua mbinu za Mimi kujiondoa nisaidie mkuu
Hapo unataka kupigwa kifala sana shitukaWanajamii habarini naombeni ushauri Kuna Dada huku JF kaniomba nimtumie nauli anadai ametokea kunipenda sana na huwa haishi kuniota ndotoni ila anasema nimtumie nauli 1 million hajawai panda ndege naombeni ushauri wanajamii maana nimeshaanza kulegea nahisi nina asilimia 90% kumtumia nishaurini cjui anadawa [emoji3064]
Humu ndani kila mtu tajiri,ushashiba mbaazi kwa shemejio,unaanza kutusumbua hapa,wakati unasubiri wakalale na wewe uegeshe ubavu kwenye hayo makochi,pumbavu kweli wewe,ushawahi kuishika hiyo milioni?Wanajamii habarini naombeni ushauri Kuna Dada huku JF kaniomba nimtumie nauli anadai ametokea kunipenda sana na huwa haishi kuniota ndotoni ila anasema nimtumie nauli 1 million hajawai panda ndege naombeni ushauri wanajamii maana nimeshaanza kulegea nahisi nina asilimia 90% kumtumia nishaurini cjui anadawa 🥺
Mkuu nisaidie nijitoe kwenye hili wimbi tafadhali nipo seriousHumu ndani kila mtu tajiri,ushashiba mbaazi kwa shemejio,unaanza kutusumbua hapa,wakati unasubiri wakalale na wewe uegeshe ubavu kwenye hayo makochi,pumbavu kweli wewe,ushawahi kuishika hiyo milioni?
Hayajakukuta mkuu 🥺 hayajakukuta nakwambia usiombe chonde chonde mkuu***** mtumie mama yako iyo hela achana nae million nauli!? Tunatofautiana lakin mi kiwango changu cha mwisho kuhonga ni laki tena yenye sababu za mzingi ndio itoke.