Msaada wenu wa kimawazo unahitajika sana

Msaada wenu wa kimawazo unahitajika sana

The patriot man

JF-Expert Member
Joined
Aug 16, 2015
Posts
1,071
Reaction score
1,361
Kwema wakuu

Mimi nina mwanamke ananipenda saana yaana sana mimi nakosa Amani kuwa nae kwa sababu kuu
2
Kwanza ni mirefu sana kanizidi mbali she almost 6.3 and I am 5.8
Na pia kwao ni maisha mazuri sana kuliko sisi.

Kuna kipindi nilimuambia tuachane akaniuliza sababu nikamuambia akakubali kishingo upande ila baada ya siku 3 Akaanza tena ku nitafuta huku akili sana akidai amejaribu ameshindwa mwisho wa siku nikamuonea huruma nikamrudia

Sababu ya kuu andika huu uzi
Ni amebeba mimba yangu alafu mimi siwezi muoa kabisa na nimeshamuambia hvo ila anasema ni sawa tuu nilimuacha analia anakua mnyonge and she almost 26 and me 32 niko dilemma aisee vp ulishawahi data na mwanamke aliyekuzidi kila kitu? Pesa, kimo vp uliwezaje kuishi nae? .
 
Kwema wakuu

Mimi nina mwanamke ananipenda saana yaana sana mimi nakosa Amani kuwa nae kwa sababu kuu
2
Kwanza ni mirefu sana kanizidi mbali she almost 6.3 and I am 5.8
Na pia kwao ni maisha mazuri sana kuliko sisi.

Kuna kipindi nilimuambia tuachane akaniuliza sababu nikamuambia akakubali kishingo upande ila baada ya siku 3 Akaanza tena ku nitafuta huku akili sana akidai amejaribu ameshindwa mwisho wa siku nikamuonea huruma nikamrudia

Sababu ya kuu andika huu uzi
Ni amebeba mimba yangu alafu mimi siwezi muoa kabisa na nimeshamuambia hvo ila anasema ni sawa tuu nilimuacha analia anakua mnyonge and she almost 26 and me 32 niko dilemma aisee vp ulishawahi data na mwanamke aliyekuzidi kila kitu? Pesa, kimo vp uliwezaje kuishi nae? .
KashazAA mkuu na kwao wamesikitika sana. Mtoto hana baba na mbaya zaidi kafata sura ya baba! Umekimbilia wapi sasa?
 
Ishu hapo labda urefu,maana dah sipati picha amekuzingua hlf unaanza kumuangaliaje

Anyways huo ni mtazamo wa wengi ambao hauna mashiko,siku zote usiwasikilize watu au maoni yasikufanye kushindwa kutimiza malengo yako

Labda kama una sababu nyingine lakini kama ni hizo sioni shida iko wapi...
 
Kwema wakuu

Mimi nina mwanamke ananipenda saana yaana sana mimi nakosa Amani kuwa nae kwa sababu kuu
2
Kwanza ni mirefu sana kanizidi mbali she almost 6.3 and I am 5.8
Na pia kwao ni maisha mazuri sana kuliko sisi.

Kuna kipindi nilimuambia tuachane akaniuliza sababu nikamuambia akakubali kishingo upande ila baada ya siku 3 Akaanza tena ku nitafuta huku akili sana akidai amejaribu ameshindwa mwisho wa siku nikamuonea huruma nikamrudia

Sababu ya kuu andika huu uzi
Ni amebeba mimba yangu alafu mimi siwezi muoa kabisa na nimeshamuambia hvo ila anasema ni sawa tuu nilimuacha analia anakua mnyonge and she almost 26 and me 32 niko dilemma aisee vp ulishawahi data na mwanamke aliyekuzidi kila kitu? Pesa, kimo vp uliwezaje kuishi nae? .
Kama demu kaelewa hali yako ishi nae tu
 
Kwema wakuu

Mimi nina mwanamke ananipenda saana yaana sana mimi nakosa Amani kuwa nae kwa sababu kuu
2
Kwanza ni mirefu sana kanizidi mbali she almost 6.3 and I am 5.8
Na pia kwao ni maisha mazuri sana kuliko sisi.

Kuna kipindi nilimuambia tuachane akaniuliza sababu nikamuambia akakubali kishingo upande ila baada ya siku 3 Akaanza tena ku nitafuta huku akili sana akidai amejaribu ameshindwa mwisho wa siku nikamuonea huruma nikamrudia

Sababu ya kuu andika huu uzi
Ni amebeba mimba yangu alafu mimi siwezi muoa kabisa na nimeshamuambia hvo ila anasema ni sawa tuu nilimuacha analia anakua mnyonge and she almost 26 and me 32 niko dilemma aisee vp ulishawahi data na mwanamke aliyekuzidi kila kitu? Pesa, kimo vp uliwezaje kuishi nae? .
Uko 32 miaka au miezi? Mbona akili ni za 16 17 18. Duh siku hizi vijana wanachelewa kukua akili i.e maturity japo miili yao inaongezake, someni mawazo ya baba wa miaka 32 mjionee wenyewe.
 
Kwema wakuu

Mimi nina mwanamke ananipenda saana yaana sana mimi nakosa Amani kuwa nae kwa sababu kuu
2
Kwanza ni mirefu sana kanizidi mbali she almost 6.3 and I am 5.8
Na pia kwao ni maisha mazuri sana kuliko sisi.

Kuna kipindi nilimuambia tuachane akaniuliza sababu nikamuambia akakubali kishingo upande ila baada ya siku 3 Akaanza tena ku nitafuta huku akili sana akidai amejaribu ameshindwa mwisho wa siku nikamuonea huruma nikamrudia

Sababu ya kuu andika huu uzi
Ni amebeba mimba yangu alafu mimi siwezi muoa kabisa na nimeshamuambia hvo ila anasema ni sawa tuu nilimuacha analia anakua mnyonge and she almost 26 and me 32 niko dilemma aisee vp ulishawahi data na mwanamke aliyekuzidi kila kitu? Pesa, kimo vp uliwezaje kuishi nae? .
😁😁😁
Ww pambana nae huyo umchune akome.
 
Kwema wakuu

Mimi nina mwanamke ananipenda saana yaana sana mimi nakosa Amani kuwa nae kwa sababu kuu
2
Kwanza ni mirefu sana kanizidi mbali she almost 6.3 and I am 5.8
Na pia kwao ni maisha mazuri sana kuliko sisi.

Kuna kipindi nilimuambia tuachane akaniuliza sababu nikamuambia akakubali kishingo upande ila baada ya siku 3 Akaanza tena ku nitafuta huku akili sana akidai amejaribu ameshindwa mwisho wa siku nikamuonea huruma nikamrudia

Sababu ya kuu andika huu uzi
Ni amebeba mimba yangu alafu mimi siwezi muoa kabisa na nimeshamuambia hvo ila anasema ni sawa tuu nilimuacha analia anakua mnyonge and she almost 26 and me 32 niko dilemma aisee vp ulishawahi data na mwanamke aliyekuzidi kila kitu? Pesa, kimo vp uliwezaje kuishi nae? .
Acha woga. sababu za kijinga kabisa hizi
 
Back
Top Bottom