Msaada wenu wa mawazo ni muhimu sana kwangu

Msaada wenu wa mawazo ni muhimu sana kwangu

Lovery

JF-Expert Member
Joined
Aug 15, 2014
Posts
1,555
Reaction score
3,208
Habari zenu wakuu,

Naomba nianze moja kwa moja kueleza jambo hili.

Mnamo mwaka 2006 nilikuwa katika mahusiano ya kimapenzi na binti anaitwa NASRA (si jina halisi) wakati huo alikuwa anafanya kazi za ndani kwa rafiki yake na kaka yangu, wakati huo mimi nilikuwa nikiishi kwa kaka yangu. (R.I.P Bro)

Nilikuwa sina dira ya maisha wakati huo nikawa najiendekeza na mafunzo ya computer,

Badaa ya mahusiano ya muda kama miezi 6, binti huyo akawa ameondoka yani kaacha kazi na sikuwa na simu kujua kaelekea wapi kwani wakati anaondoka nilikuwa safari kwa wazazi wangu.

Baada ya miezi kadhaa nikapata taarifa zisizo rasmi ya kwamba kaolewa kijiji fulani ila kajifungua mtoto kafanana na mimi sana, kwakuwa alikuwa kaolewa nikaona ni taarifa za uongo hata hivyo wote hatukuwa na simu.

Leo kanitafuta baada ya miaka 10 kupita na anadai yule ni mtoto wangu ila alimpatia mtu kwakuwa maisha ndio yalimfanya afanye hivyo kwasababu mimi nilikuwa bado hata sabuni naomba, japo mtoto anahudumiwa na yule jamaa na mwanamke ana ajira nzuri baada ya kusoma tena.

hivyo ananiambia niende kumuona mtoto na tuzungumze jambo la kufanya ili anipatie mtoto wangu.

Najiuliza je nianzie wapi endapo ikiwa kweli mtoto ni wangu?
Mtoto anatumia jina la baba mwingine kisheria inakaaje?
Familia ya yule bwana wataniona mtu wa aina gani?

HAKIKA SIJUI PAKUANZIA NAOMBENI MSAADA WA USHAURI.
 
Dah kuna vitu vingi sana vya kuconsider.

Maneno sio ushahidi tosha kuwa huyo mtoto ni wako, hata kama huyo mwanamke anasema hivyo. So you need something tangible. Kwahiyo kapime DNA kwanza. Ukishafanya hivyo ndo hayo mengine yanafuata.

Inabidi kabla hujaenda kwenye mazungumzo na huyo jamaa na mpenzi wako wa zamani, tafakari kwanza mwenyewe; Je uko tayari kulea?( hapa namaanisha both psychologically and financially) Sio tu unaenda kumtoa mtoto huko alipo halafu kulea/kumhudumia huwezi, italeta disturbance.

Baada ya kutafakari kwa kina na kuridhia kuwa kweli uko tayari kulea, hapo sasa ndo unaweza ukaenda kufanya mazungumzo na huyo jamaa na mpenzi wako wa zamani. Kwa unavoelezea inaonekana huyo binti yuko tayari kukuachia mtoto, lakini pia unahitaji support ya huyo jamaa aliekuwa anamlea na kumhudumia huyo mtoto, hii ni kwasababu anaweza akawa ameshacreate a bond na huyo mtoto na anamchukulia kama mwanae kabisa. Otherwise anaweza akatia ngumu, and things might get messy. So wote wakiridhia hapo sasa ndo unaweza ukamchukua mwanao.

Kuhusu familia ya huyo bwana, wewe usijali kuhusu hilo. As long as huyo bwana pia ameridhia wewe kumchukua huyo mtoto basi hayo mengine ya sijui watu watakuonaje, achana nayo.

Kuhusu jina, hilo halina shida, kuna taratibu unaweza ukafuata ukambadilisha majina. It's not complicated.
 
Dah kuna vitu vingi sana vya kuconsider.

Maneno sio ushahidi tosha kuwa huyo mtoto ni wako, hata kama huyo mwanamke anasema hivyo. So you need something tangible. Kwahiyo kapime DNA kwanza. Ukishafanya hivyo ndo hayo mengine yanafuata.

Inabidi kabla hujaenda kwenye mazungumzo na huyo jamaa na mpenzi wako wa zamani, tafakari kwanza mwenyewe; Je uko tayari kulea?( hapa namaanisha both psychologically and financially) Sio tu unaenda kumtoa mtoto huko alipo halafu kulea/kumhudumia huwezi, italeta disturbance.

Baada ya kutafakari kwa kina na kuridhia kuwa kweli uko tayari kulea, hapo sasa ndo unaweza ukaenda kufanya mazungumzo na huyo jamaa na mpenzi wako wa zamani. Kwa unavoelezea inaonekana huyo binti yuko tayari kukuachia mtoto, lakini pia unahitaji support ya huyo jamaa aliekuwa anamlea na kumhudumia huyo mtoto, hii ni kwasababu anaweza akawa ameshacreate a bond na huyo mtoto na anamchukulia kama mwanae kabisa. Otherwise anaweza akatia ngumu, and things might get messy. So wote wakiridhia hapo sasa ndo unaweza ukamchukua mwanao.

Kuhusu familia ya huyo bwana, wewe usijali kuhusu hilo. As long as huyo bwana pia ameridhia wewe kumchukua huyo mtoto basi hayo mengine ya sijui watu watakuonaje, achana nayo.

Kuhusu jina, hilo halina shida, kuna taratibu unaweza ukafuata ukambadilisha majina. It's not complicated.
Asante sana ndugu yangu, nimepata mwanga wapi nianzie, ila pia huyo mwanamke hakubahatika kuishi na bwana huyo, alimpatia jukumu la malezi na yeye akaolewa pengine japo mtoto anaishi na huyo mwanamke hadi leo (hakai kwa baba)
 
Baba sio mbegu wewe ni malezi,... Miaka 10 ni mingi sana huyo mtoto atakuwa ameshapata akili ya kujua jema na baya. Mwambie huyo mwanamke atulie na asikutafute tena kwa manufaa ya huyo mtoto. Then ufanye utafiti wako binafsi kudhibisha Hilo Kama kweli huyo mtoto ni wako.

Kama umeacha kuomba sabuni, basi huyo mwanamke ni gold digger.... Anamtumia huyo mtoto Kama mtaji. Ukimchukua then ukafulia, anatafutiwa baba mwingine.
 
anaweza akawa ameshacreate a bond na huyo mtoto na anamchukulia kama mwanae kabisa. .

"...ameshacreate a bond..."

Hapo ndipo pagumu, miaka 10 sio midogo!

At least mtoto angekuwa ana miaka chini ya mitano ungeweza kumchukua ucreate bond yako lakini umeshachelewa.
 
Baba sio mbegu wewe ni malezi,... Miaka 10 ni mingi sana huyo mtoto atakuwa ameshapata akili ya kujua jema na baya. Mwambie huyo mwanamke atulie na asikutafute tena kwa manufaa ya huyo mtoto. Then ufanye utafiti wako binafsi kudhibisha Hilo Kama kweli huyo mtoto ni wako.

Kama umeacha kuomba sabuni, basi huyo mwanamke ni gold digger.... Anamtumia huyo mtoto Kama mtaji. Ukimchukua then ukafulia, anatafutiwa baba mwingine.
Asante sana
 
"...ameshacreate a bond..."

Hapo ndipo pagumu, miaka 10 sio midogo!

At least mtoto angekuwa ana miaka chini ya mitano ungeweza kumchukua ucreate bond yako lakini umeshachelewa.
Asante, kwahiyo mtoto nimuachie tu huyo bwana?
 
Ningependa kujua kwanza huyu jamaa aliemuoa anajua hii au hajui,,hapo ndio naweza kukupa ushauri wa kiume
 
Duuu miaka kumi ni mingi mno, mtoto ameshakuwa mkubwa, ujiandae kuulizwa miaka kumi yote ulikuwa wapi, je Huyo baba aliyepachikwa mtoto atakuelewa?? Na baada ya kwenda kumchukua mtoto mama wa mtoto huoni km ukuwa ndiyo mwisho wake na Huyo bwanaa coz amemdanganya ni mwanae, lkn kitu cha kwanza ukienda kumchukua mtoto nenda kapime DNA ilikuhakiki kweli km mtt ni wakoo
 
Ningependa kujua kwanza huyu jamaa aliemuoa anajua hii au hajui,,hapo ndio naweza kukupa ushauri wa kiume
Huyu bwana aliyepewa mtoto hakubahatika kumuoa huyu mwanamke maana walikuwa wapenzi tu, ila aliolewa na mtu mwingine kabisa na yeye akabakia kama mzazi mwenzake, japo huko pia akawa kaachika na sasa anaishi peke yake.
 
Duuu miaka kumi ni mingi mno, mtoto ameshakuwa mkubwa, ujiandae kuulizwa miaka kumi yote ulikuwa wapi, je Huyo baba aliyepachikwa mtoto atakuelewa?? Na baada ya kwenda kumchukua mtoto mama wa mtoto huoni km ukuwa ndiyo mwisho wake na Huyo bwanaa coz amemdanganya ni mwanae, lkn kitu cha kwanza ukienda kumchukua mtoto nenda kapime DNA ilikuhakiki kweli km mtt ni wakoo


Huyu bwana aliyepewa mtoto hakubahatika kumuoa huyu mwanamke maana walikuwa wapenzi tu, ila aliolewa na mtu mwingine kabisa na yeye akabakia kama mzazi mwenzake, japo huko pia akawa kaachika na sasa anaishi peke yake.

Na utaratibu wa kupima DNA upoje?
 
Huyu bwana aliyepewa mtoto hakubahatika kumuoa huyu mwanamke maana walikuwa wapenzi tu, ila aliolewa na mtu mwingine kabisa na yeye akabakia kama mzazi mwenzake, japo huko pia akawa kaachika na sasa anaishi peke yake.

Na utaratibu wa kupima DNA upoje?
Kupima DNA nilazima uende na mtoto achukuliwe damu yake na yako ... Alafu inapimwa
 
Huyu bwana aliyepewa mtoto hakubahatika kumuoa huyu mwanamke maana walikuwa wapenzi tu, ila aliolewa na mtu mwingine kabisa na yeye akabakia kama mzazi mwenzake, japo huko pia akawa kaachika na sasa anaishi peke yake.
Pole sana kwa hyo baada ya kuachika ndio anakutafuta siyo?? Asingeachika inaonekana asingekua na mipango nawe,ila sbu ka kwama anatafuta hisani.. Bas sawa ni hiv bro..kwanza huna hakika km kwel mtoto ni wako ila kama ni wako mwambie tu amweleze mwanao ukwel na mtoto bila kumlazimisha aamue yeye mwenyewe. Sawa kama ni mwanao kwel hata dunia ikiisha leo hii bado atabaki wako tu haitabadilika kamwe,lakin mtoto anapokeaje haya? Unajua angekua chin ya miaka 5 na ukawa nae karib sana ana sahau yte ya zaman bt kashafikisha ten years unadhan kumbukumbu zitafutika?

Mwsho ni kwamba mwambie hyo mwanamke amwambie kwanza ukwel,then wewe uanze kujenga mazoea kdgo kdgo hata miaka mitatu au minne then ule upendo utamwngia mtoto polepole na mwsho atajivunia kua wewe unampenda.

NB: SIKUSHAURI HATA KIDGO KUISHI NA HUYO MWANAMKE.
 
Back
Top Bottom