Msaada wenu wa mawazo ni muhimu sana kwangu

Huyu bwana aliyepewa mtoto hakubahatika kumuoa huyu mwanamke maana walikuwa wapenzi tu, ila aliolewa na mtu mwingine kabisa na yeye akabakia kama mzazi mwenzake, japo huko pia akawa kaachika na sasa anaishi peke yake.
Kizungumkuti kwakweli.
Usikubali kufanya mazungumzo yoyote bila kuwa na uhakika kama mtoto ni wako.
DNA ihusike ndio mengine yafuate.
 
Pole,ushauri wangu ni huu,achana na kila kitu Fanya yako,mtoto akiwa mtu mzima atakutafuta Kwa muda wake,huu mtihani una vipingamizi na jamii haitakuchukulia vizuri.
 
Asante sana mkuu kwa mchango wako, bila shaka haya uliyonishauri ndio nitaanza nayo kwanza
 
Kizungumkuti kwakweli.
Usikubali kufanya mazungumzo yoyote bila kuwa na uhakika kama mtoto ni wako.
DNA ihusike ndio mengine yafuate.
Asante sana mkuu maana nimekuwa njia panda
 
Nasikiaga ni ghali siyo chini ya laki moja kwa hospital sijajua,
Kwakuwa ni jambo muhimu sana nitafanya hivyo kwasababu naweza kukwepa ikawa kweli ni damu yangu na baadae nitaonekana nimekosa utu.
 
Kwakuwa ni jambo muhimu sana nitafanya hivyo kwasababu naweza kukwepa ikawa kweli ni damu yangu na baadae nitaonekana nimekosa utu.
Nikweli Fanya hivyo mkuu, kwasababu wewe huna kosa coz ulikuwa hujui km wskati wa mahusiano yenu alipata mimba, tena ikiwezekana km ikijulikana mtt ni wako na mama mtu hajaolewa, mnaweza Ku up date penzi lenu mkaoana mkamlea mmt
 
Pole sana p
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…