AhahahahahahahahahBaba Swalehe, Hapana mkuu yeye mwenyewe alisema atanilipa ila kwa sasa naona dalili zote za kutokulipa naumia sana, naona kama ananizurumu nawaza kwenda mahakamani
Sent using komputa mpakato
Achana kabisa na hilo deni, miaka 7 uliyoishi kwa baba yako baada ya kumaliza CHUO wewe ndiye unadaiwa , siku ukiondoka hakikisha unamuachia not less than 1mHabarini za uzima wakuu
Mimi ni kijana nina miaka 31, mwaka huu mwezi wa pili mungu akipenda natimiza 32 (kwa kweli litakuwa jambo la kumshukuru Mungu kwa uhai huo)
Niende kwenye maada moja kwa moja
Kipindi nipo chuo 2013 nilikuwa napata bumu langu vizuri tu, baba yangu aliniomba nimsaidie sh laki 5 kipindi nipo mwaka wa pili nikampa kwa miadi kuwa atanirejeshea pesa yangu.
Mwaka wa tatu semister ya pili mzee akaniomba laki 4 tena uku akiwa bado hajanilipa laki 5 yangu, sikuwa na iyana nikampa
Jumla nikawa namdai SH LAKI 9 (900,000)
Baada ya kumaliza chuo na kurudi home ni mwaka wa 7 sasa baba hataki kunilipa deni langu
Umri wa kuondoka nyumbani umeshakaribia, nimemuomba mzee anipatie iyo pesa yangu nikapange chumba nifungue na biashara ila kila siku anasema hayupo vizuri
Wakuu naombeni ushauri wenu nifanyeje nipate haki yangu
Maana nikimuambia mambo ya siasa anasema kama naipenda CCM niondoke nyumbani kwakwe, wakati huohuo hataki kunipa ela yangu
Kila siku is naumia moyoni
Naombeni msaada wenu
Sent using komputa mpakato
Achana kabisa na hilo deni, miaka 7 uliyoishi kwa baba yako baada ya kumaliza CHUO wewe ndiye unadaiwa , siku ukiondoka hakikisha unamuachia not less than 1m
Mkuu umeongea point sanaaaa....Ukiwa hauna pesa unaweza kuona hiyo 900,000 ni kubwa sana so unaweza kuidai kwa nguvu. Ila sasa ukipewa ukaenda kuanza maisha utajikuta hauna kitu. So samehe hiyo pesa. Maana kiutaratibu ulipofikisha miaka 18 tayari ulishakuwa mtu mzima ulitakiwa uishi kwako. Vp mshua akikupigia mahesabu,utatoboa kweli ?
Sent using Jamii Forums mobile app
Uliwezaje kuondoka tuanzie hapo?Ushauri mzuri sana, na umenisaidia, niliondoka nyumbani week 1 baada ya kumaliza chuo na sasa mambo yamenyooka.
Niliamini baraka zimejificha mbali huko tena mkoa tofauti nikazifuata.
Sent using Jamii Forums mobile app
mimi naweza hata kuwashangaa hata wanaopoteza muda kumshauri huyu dogo jibu analo mwenyewe kuwa mzazi hadaiwi hebu msipoteze muda wenu jadirini ya maanaHabarini za uzima wakuu
Mimi ni kijana nina miaka 31, mwaka huu mwezi wa pili mungu akipenda natimiza 32 (kwa kweli litakuwa jambo la kumshukuru Mungu kwa uhai huo)
Niende kwenye maada moja kwa moja
Kipindi nipo chuo 2013 nilikuwa napata bumu langu vizuri tu, baba yangu aliniomba nimsaidie sh laki 5 kipindi nipo mwaka wa pili nikampa kwa miadi kuwa atanirejeshea pesa yangu.
Mwaka wa tatu semister ya pili mzee akaniomba laki 4 tena uku akiwa bado hajanilipa laki 5 yangu, sikuwa na iyana nikampa
Jumla nikawa namdai SH LAKI 9 (900,000)
Baada ya kumaliza chuo na kurudi home ni mwaka wa 7 sasa baba hataki kunilipa deni langu
Umri wa kuondoka nyumbani umeshakaribia, nimemuomba mzee anipatie iyo pesa yangu nikapange chumba nifungue na biashara ila kila siku anasema hayupo vizuri
Wakuu naombeni ushauri wenu nifanyeje nipate haki yangu
Maana nikimuambia mambo ya siasa anasema kama naipenda CCM niondoke nyumbani kwakwe, wakati huohuo hataki kunipa ela yangu
Kila siku is naumia moyoni
Naombeni msaada wenu
Sent using komputa mpakato
Sasa si hana hela angekua nayo si angekulipa unataka akatoe wapi baba yako
Yaani wtu tunawasitiri watu tusiowajua sembuse baba mzazi we jamaa umenishngaza sana
Hebu jipige pige kifua na ujiambie mimi ni mchawi
endelea kusubiri chakula na urithi kutoka kwa baba, miaka 32 bado unasubiri laki tisa ambazo ndani ya nafsi yako unajua mzee hawezi kurejesha . amka baba pambana Maisha ni mapambanoAcha kupotosha, chakula kingi kwa baba.... mtoto hurithi kwa wazazi wake na si kinyume chake.
endelea kusubiri chakula na urithi kutoka kwa baba, miaka 32 bado unasubiri laki tisa ambazo ndani ya nafsi yako unajua mzee hawezi kurejesha . amka baba pambana Maisha ni mapambano
Acha UJINGA wewe. Unapokopa pesa kwa mtu sharti ni kulipa kulingana na makubalianoWe lijamaa nilijinga sana.........yan ningekua mim ndo hyo ni baba ako ningekuchana yani ile ya kavu kavu kwamba..."Hela yako sikulipi na kwangu uondoke"
Sent using Jamii Forums mobile app
Una MAVI kichwani?Hili bao bora baba yako angelipiga puli bafuni kuliko kuzaa mtoto kama wewe
Pumbavu nini? Sawa ya deni ni kulipa.Mzazi hakopeshwi mkuu, mzazi anapewa piga hesabu tu kua ulimpa hiyo pesa,
Tafuta mishe nyingine ikuingizie pesa hiyo achana nayo
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe ni MWENDAWAZIMU?Miaka 31 bado uko kwa baba na mama....!!?
Huna aibu hata kidogo unaleta Uzi wa kindezi namna hii na chuo umeenda...!!?
Kwa jinsi ulivyo na akili yako mbovu huwezi 1. Kuwajengea wazazi wako nyumba bora hata ukipata mafanikio namna gani.
2. ................. .........
3.
4.
Sent using Jamii Forums mobile app