Mmea Jr
JF-Expert Member
- May 20, 2016
- 798
- 1,871
wakuu katika harakati za kuomba course mbalimbali za kusoma chuo, mdogo wangu alichangua course zimefuatazo UDOM ( nimeziambatanisha kwenye picha)
Lakini mbaka first selection zimetoka kwenye profile yake ambayo alitumia kuombea course hamna notification yoyote inayoonesha labda kakosa na kutakiwa kuapply na upya , ILa inaonesha tu jinsi alivyojaza na kuonesha kuwa maombi yapo submitted.
Sasa msaada naoitaji hapa nkujua wote mliomba Udom inaonesha hivi hivi, au dogo kuna vitu hakukamilisha katika maombi yke ndyo maana imekuwa kama nilivyoelezea hapo juu.
Lakini mbaka first selection zimetoka kwenye profile yake ambayo alitumia kuombea course hamna notification yoyote inayoonesha labda kakosa na kutakiwa kuapply na upya , ILa inaonesha tu jinsi alivyojaza na kuonesha kuwa maombi yapo submitted.
Sasa msaada naoitaji hapa nkujua wote mliomba Udom inaonesha hivi hivi, au dogo kuna vitu hakukamilisha katika maombi yke ndyo maana imekuwa kama nilivyoelezea hapo juu.