ladypeace
JF-Expert Member
- Dec 19, 2012
- 935
- 506
Jamani nisaidieni kwa anayekujua dawa ya tumbo, mtoto wangu baada tu ya kutimiza wiki mbili toka kuzaliwa kwake gafla alianza kuumwa tumbo la ajabu yaani akimyonya tu ile anameza fundo la maziwa tumbo linaanza kuunguruma vibaya mno kama la mtu mzima anajivuta analia mno hadi anatokwa jasho hatulali nilijua litaisha baada ya muda ila naona kadri siku zinavoendelea ndio anaumwa sana.
Nimejalibu baadhi ya madawa niloshauriwa ila naona hamna nafuu.
Pls naomba mnsaidie.
Nimejalibu baadhi ya madawa niloshauriwa ila naona hamna nafuu.
Pls naomba mnsaidie.