Msaada wenu watu Benki unahitajika.

Msaada wenu watu Benki unahitajika.

kijana13

JF-Expert Member
Joined
Sep 24, 2013
Posts
1,981
Reaction score
3,631
Habarini wakuu.Nahitaji kufungua Account kwa ajili ya institution kuna Mambo 2 muhimu yanayohitajika kwenye hio acc ni 1.API for receiving payment online 2.PHP script link to online banking. +NAME NUMBER CVV. Naomba kuelewesha kuhusiania na mambo hayo na ni benki gani ninaweza pata hizo service kwenye akaunti.Asanteni
 
Back
Top Bottom