Msaada wenu watu Benki unahitajika.

kijana13

JF-Expert Member
Joined
Sep 24, 2013
Posts
1,981
Reaction score
3,631
Habarini wakuu.Nahitaji kufungua Account kwa ajili ya institution kuna Mambo 2 muhimu yanayohitajika kwenye hio acc ni 1.API for receiving payment online 2.PHP script link to online banking. +NAME NUMBER CVV. Naomba kuelewesha kuhusiania na mambo hayo na ni benki gani ninaweza pata hizo service kwenye akaunti.Asanteni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…