Nina maswali machache juu ya hayo kukupima maana nahisi u msanii zaidi kuliko fundiu mi nasoma vitabu sikuzaliwa navyo .sioti hapa nina vitabu softcopy vya 20gb kama unataka kushindana na mimi nitakupoteza nachanganya idia nyingi nipo hapa kuongeza huwezo we maelezo chukua kama yalivyo mi nishafaya kazi za majalibio na kufanikiwa 70 mwenyewe kama
msql
java
visual studio 2008/2010
html/xhtml/php
phython
Jaribu Link hizi utupe majibu:Tatizo la pili (2).
Nina Huawei FWT ETS 2251 Modem nataka kupata Internet kwenye Mac yangu, nifanyeje ili ionekane maana haionekani kwenye list of Modem
Bold face lie :lol:hapa sitatizwi na chochote
Sina ujuzi sana na mac, unaweza weka screenshots na maelezo kidogo ya kinachoendelea? Labda kama error message?
watanzania wote wajamii forums kama yesu alivyo zaliwa mi ndo nimezaliwa kuja kusaidia waafrika.
unachojua kina kutatiza njoo unia mbie
mawasiliano 0712484995
kwenye facebook EDSON KENNEDY
EMAIL edjizzo@yahoo.com
blogs :chizicomputer.blogspot.com
hapa sitatizwi na chochote
Sina ujuzi sana na mac, unaweza weka screenshots na maelezo kidogo ya kinachoendelea? Labda kama error message?
Jamani mtu hatakama anania ya kusaidia lakini kwa maswali yenu mnaonekana kupinga badala ya kusapoti.
amesema swali lolote lihusulo computer sasa kwani hili la Huawei network connection sio swali?
Mkuu hapa tatizo sio swali,swala ni stlye mnayotumia kumuuliza maswali, tusifanye mashindano sisi wengine tunaelimika hapa jamvini, CALVIN POWDER ni mtu mwenye upeo mpana lakini kuna maswali amemuuliza huyu bwana na sidhani kama maswali ya CP yamelenga kumchallenge huyu bwana, kitu kingine ukumbuke hapa jamvini anaweza swali akaulizwa drphone, lakini kabla drphone hajajibu unakuta mtu mwingine mwenye uelewa wa swala hilo anajibu swali kwa niaba ya drphone.
kuna watu wengi sana wanatembelea JF lakini hawachangii chochote wao huwa wanapenda kusoma nini kinaendelea kwenye hii forum. kwa hiyo wenzetu wenye uelewa mkubwa wa haya mambo pls msije kusababisha wengine tukakosa kujifunza, maana watu wengine wataogopa kujitokeza kwa kuogopa kukosolewa.
mhh! Ninavyofahamu mimi hizi ni driver za zile modem ziko kama simu ya mezani, am I right? Unaweza weka shot ya jinsi inavyofanya? Nina jamaa yangu mtumiaji mzuri wa Mac may be anaweza kuwa msaadaNimedownload kext za huawei aina ya TUSB 3410 ikaona hiyo TUSB 3410 kwa ajili ya CDMA ila niki-connect inafanya kama ina-connect kisha inakata.
mhh! Ninavyofahamu mimi hizi ni driver za zile modem ziko kama simu ya mezani, am I right? Unaweza weka shot ya jinsi inavyofanya? Nina jamaa yangu mtumiaji mzuri wa Mac may be anaweza kuwa msaada
Matola hebu tazama tena maswali yangu, je hayana msingi kisha ndo ukosoe. Yeye ametoa thread kama mtu anayejua kila kitu. Mimi ni mtaalamu wa Mac na Pc lakini siwezi kujisifia kujua kila kitu na kujigamba kama hivi!