Msaada. yeast cells kwenye mkojo ni nini?

Msaada. yeast cells kwenye mkojo ni nini?

apprentice1997

Senior Member
Joined
Jun 8, 2016
Posts
107
Reaction score
99
habari za LEO jamani, mimi ni kijana wa kiume ninasumbuliwa na uti, Mara kwa Mara mwili Wangu unachemka na kupata homa. baada ya kupima daktari aliniambia Nina fangasi wa njia ya mkojo ambao ndio hao yeast cells. je no kweli kwamba Hii ni fangasi na sio uti? je INA madhara gain kwangu? kwa sasa ninatibiwa na dawa za fluconazole je zitanisaidia maana daktari ameniambia wadudu Hawa ni ngumu kutoka hasa. naomba msaada niweze kupona. asante
 
Shyeeeh...!!! Wagonjwa wanaojifanya wajuaji km wewe wakati huna unalolijua ni zaidi ya tatizo,

Kijana kwa hivyo unataka uambiwe neno UTI ndo utafurahi sio?

We ni spp gani mpaka kwako Candida ktk urinary tract unahisi ni normal flora na sio infection(UTI)?

Hata biology ya form II "D" haijakusaidia???
 
mimi kuna kipindi nilikuwa naugua ugonjwa wa UTI na baada ya kutumia madawa ya antibiotics kwa wingi ikanipelekea kupata fangasi katika mkojo lakin dawa yake ni moja tu fangasi hutibiwa kirahisi na garlic(kitunguu saumu)mpaka leo haijarudi hao fangasi kiufupi wameisha.
ila kama umeshapatiwa dawa endelea na hzo dawa na kama bdo haujapona hao fangasi wako chukua kitunguu saumu menya zile punje kisha uchukue punje tatu unatafuna(kama unaweza),au uziponde kisha kisha meza asubuh na jioni kwa siku 3 mpka tano halafu kapime hao fangasi wako watakuwa wameshakwisha kabisga
NB;usitumie garlic kama unapresha ya kushuka na kama unatumia antibiotic aina ya penicillin mfno ampicilin,amoxicillin,amoxiclav na nyengnezo.
 
mimi kuna kipindi nilikuwa naugua ugonjwa wa UTI na baada ya kutumia madawa ya antibiotics kwa wingi ikanipelekea kupata fangasi katika mkojo lakin dawa yake ni moja tu fangasi hutibiwa kirahisi na garlic(kitunguu saumu)mpaka leo haijarudi hao fangasi kiufupi wameisha.
ila kama umeshapatiwa dawa endelea na hzo dawa na kama bdo haujapona hao fangasi wako chukua kitunguu saumu menya zile punje kisha uchukue punje tatu unatafuna(kama unaweza),au uziponde kisha kisha meza asubuh na jioni kwa siku 3 mpka tano halafu kapime hao fangasi wako watakuwa wameshakwisha kabisga
NB;usitumie garlic kama unapresha ya kushuka na kama unatumia antibiotic aina ya penicillin mfno ampicilin,amoxicillin,amoxiclav na nyengnezo.
asante sana ubarikiwe mkuu
 
Tiba mbadala ni nzuri ila ni vizuri ukamwona Dr. Bingwa ambaye wanamwita Urologist.

UTI inaweza kukaa kwenye figo au kwenye tezi dume. Hizo sehemu dawa huwa haifiki inavyotakiwa kwa hivyo inabidi utumie dawa kwa mud mrefu ili upone.

Nakushauri umwone dr. Bingwa wa njia za mkojo -urologist ili akupe vipimo ili tatizo lifahamike.
 
Back
Top Bottom