BabaMorgan
JF-Expert Member
- Dec 18, 2017
- 4,869
- 13,137
Baridi la hapo si la kitoto aisee. Nimepakumbuka kinomaKwa unyenyekevu kabisa Wana jamiiforum walioko Mafinga naomba mnisaidie Blanket la kujifunika usiku wa leo mwili wangu una changamoto na baridi.
Nimeenda kuulizia madukani bei yake sio rafiki na bajeti niliyokuwa nayo. Nipo desperate labda kadri siku zinavyoenda nitakuwa kwenye Hali yangu ya kawaida.
... ha ha ha! Eti ukiopoa! Ila ninyi madada mnakutana na vitu vya ajabu sana sema mambo ya chumbani yanatakiwa kubaki huko huko.Pole pale panapuliza baridi mno.
Hapo hata ukiopoa unaweza ukaonekana mgonjwa kumbe baridi
Niko mbali, blanket ningekupa, sorry.
Chukua blanket mtu hapo chaap!Kwa unyenyekevu kabisa Wana jamiiforum walioko Mafinga naomba mnisaidie Blanket la kujifunika usiku wa leo mwili wangu una changamoto na baridi.
Nimeenda kuulizia madukani bei yake sio rafiki na bajeti niliyokuwa nayo. Nipo desperate labda kadri siku zinavyoenda nitakuwa kwenye Hali yangu ya kawaida.
Nashukuru nishapataPole pale panapuliza baridi mno.
Hapo hata ukiopoa unaweza ukaonekana mgonjwa kumbe baridi
Niko mbali, blanket ningekupa, sorry.
Nimeanza kutetemeka saa 10 jioniBaridi la hapo si la kitoto aisee. Nimepakumbuka kinoma
Kuna watu wana manyoya hapo ulizia bei maelewanoKwa unyenyekevu kabisa Wana jamiiforum walioko Mafinga naomba mnisaidie Blanket la kujifunika usiku wa leo mwili wangu una changamoto na baridi.
Nimeenda kuulizia madukani bei yake sio rafiki na bajeti niliyokuwa nayo. Nipo desperate labda kadri siku zinavyoenda nitakuwa kwenye Hali yangu ya kawaida.
Mabawa yanakuwa mazito sio poa yaaniNakumbuka kuna kipindi nilikuwa hapo,baridi ikichanganya mpaka Kunguru wanashindwa kuruka...
Hakuna baridi hapa mkuu huko wanakosema ni hatari nilipita huko siku chache zilizopita utadhani wapo Jehanamu wanadhibiwa baridi la hatari...Kuna haka kabaridi ka Arusha msikasahau Sana aseee
Baridi la Arusha siyo kali sanaKuna haka kabaridi ka Arusha msikasahau Sana aseee