Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂😂😂 Mzee hadi unalileta huku kwenye uzi mwingine? Wewe unaonaje ina mashiko ama la?Vp suala lako la dini kwenye sensa limepita??
Nilikuwa juzi leo nipo somewhere mkoani Ruvuma.Makambako unafanya nini? Au ndiyo ule mkasa wako unaendelea?
Mara umejikuta uko kwenye gari unaelekea Tunduru! Ukifika tu Tunduru, akili inakuambia haraka sana ondoka nenda Makambako! Unafika Makambako, akili hiyo hiyo inakutaka kwenda Mafinga! Huku hela inazidi tu kupukutika.
Balaa[emoji23][emoji23][emoji23]Home huko, inapuliza hatareeee. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kuna siku huku ilikuwa 14 Degrees Centigrade.... Aiseeee.... Ni baridi kali sana🤣Balaa[emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 2280604
Ndicho unachowaza pekee??🤓😅🙊Hivi Kibamia kinaweza kugoma kama Baridi ni kali sana?
Kinasinyaaa 😂😂😂Hivi Kibamia kinaweza kugoma kama Baridi ni kali sana?
Ka last week kale 😁😁Kuna siku huku ilikuwa 14 Degrees Centigrade.... Aiseeee.... Ni baridi kali sana🤣
Kuuliza si ujinga, nilimsikia Jamaa mmoja kwenye CNN akiwa New York akidai kwamba Vibamia vimegoma kwa sababu ni -8°Ndicho unachowaza pekee??🤓😅🙊
Yaani baridi ni kali,hadi tumbo linaumaKuna siku huku ilikuwa 14 Degrees Centigrade.... Aiseeee.... Ni baridi kali sana[emoji1787]
Kuna fununu kwamba Second Ice age inakuja kwa hiyo itatupidi tuwe tunatumia Pumps ili kuongeza Blood flow kwenye Kibamia?🤔...anyway wacha nicheke 😂😂🤣Kinasinyaaa 😂😂😂
Kuna member niliona kaandika hadi balls zinarudi ndani 🤣🙌
Vichomi hivyo 🤣🤣Yaani baridi ni kali,hadi tumbo linauma
Hivi wachawi wa huko na baridi kama hilo huwa wanawanga na makkoti au uchi uchi [emoji848][emoji848]
Mshana Jr [emoji23][emoji1787]
Hivi wachawi wa huko na baridi kama hilo huwa wanawanga na makkoti au uchi uchi [emoji848][emoji848]
Mshana Jr [emoji23][emoji1787]
We acha tu,mie mafua hayaniishi kabisa kosa nikipigwa na baridi tu ni shida,Vichomi hivyo [emoji1787][emoji1787]
Kuna wengine mifupa
Vifua
Vikohozi
Ni mateso
Kwahiyo huko kipindi cha baridi usiku unalala kwa amani. 🤣Baridi haina baunsa wewe..[emoji23]
Acha uoga kijanaKwa unyenyekevu kabisa Wana JamiiForums walioko Mafinga naomba mnisaidie Blanket la kujifunika usiku wa leo mwili wangu una changamoto na baridi.
Nimeenda kuulizia madukani bei yake sio rafiki na bajeti niliyokuwa nayo. Nipo desperate labda kadri siku zinavyoenda nitakuwa kwenye Hali yangu ya kawaida.