Asante sana mgombezi kwa swali. Mimi naomba mpira huu niwatupie vijana wetu hapo CoET, DIT, St. Joseph luguruni, etc.... Hii ni opportunity ambayo emerging mechanical engineers wanaweza kuitumia kujipatia kipato mara wamalizapo shule.
Sasa naomba mmoja achukue project title hii na afanyie kazi "design and construction of a tangential maize grain thresher for a Tanzanian farmer". Wakati unafanya engineering considerations, hakikisha gharama ya mashine hii inaweza kununuliwa na mkulima wa kawaida lakini itakuwa na uwezo mkubwa wa "kupukusa" mahindi kwa kasi kuliko mikono BILA KUVUNJA GRAINS. Utapata "A" yako kwa sababu unafanya kitu kinachoendana na hali halisi na pia kinasupport gvt priorities juu ya "kilimo kwanza" na pia utajipa mshiko baada ya kumaliza chuo maana utakuwa unafyatua na kutuuzia mashine hizi bila kuhitaji kujikaanga na interview na kuishia kulipwa laki 2.
Mkuu pale morogoro kuna jamaa wanaitwa INTERMECH, wanapatikana Kihonda Industrial Area wanamachine za aina mbalimbali including hiyo unayoitaka
Asante sana mgombezi kwa swali. Mimi naomba mpira huu niwatupie vijana wetu hapo CoET, DIT, St. Joseph luguruni, etc.... Hii ni opportunity ambayo emerging mechanical engineers wanaweza kuitumia kujipatia kipato mara wamalizapo shule.
Sasa naomba mmoja achukue project title hii na afanyie kazi "design and construction of a tangential maize grain thresher for a Tanzanian farmer". Wakati unafanya engineering considerations, hakikisha gharama ya mashine hii inaweza kununuliwa na mkulima wa kawaida lakini itakuwa na uwezo mkubwa wa "kupukusa" mahindi kwa kasi kuliko mikono BILA KUVUNJA GRAINS. Utapata "A" yako kwa sababu unafanya kitu kinachoendana na hali halisi na pia kinasupport gvt priorities juu ya "kilimo kwanza" na pia utajipa mshiko baada ya kumaliza chuo maana utakuwa unafyatua na kutuuzia mashine hizi bila kuhitaji kujikaanga na interview na kuishia kulipwa laki 2.
mkuu ... wazo zuri sana hili....kama changamoto ... je kuna programs zitakazoweza ku support kama hii project itakuwa feasible...? kwani fresh from college vijana hawana resources za ku implement successful project ideas....?...je wahadhiri hawataiweka project hii kapuni tuu as an academic publication...? pia kuna protection au patent rights zipi as an emerging mechanical engineer atahakikishiwa ili aweze kubenefit trade mark yake ... nilishauri tuwe na program za empowerment ya innovations au creativity ya vijana watakaoonyesha ujasiri wa uanzishaji wa technologjia rahisi kama huu ulio upendekeza
tupo pamoja mkuu