Mgombezi
JF-Expert Member
- Mar 23, 2009
- 610
- 181
Wana JF
Ningependa kufahamu upatikanaji wa Zana mbalimbali za kilimo na usindikaji wa mazoa; matumizi, bei yake, picha (kama inapatikana) na mahali inapopatikana (zile ambazo zinapatikana hapa nchini).
Zaidi napenda kufahamu ninapoweza kupata mashine ya e kupukusa mahindi.
Asante kwa michango.
Ningependa kufahamu upatikanaji wa Zana mbalimbali za kilimo na usindikaji wa mazoa; matumizi, bei yake, picha (kama inapatikana) na mahali inapopatikana (zile ambazo zinapatikana hapa nchini).
Zaidi napenda kufahamu ninapoweza kupata mashine ya e kupukusa mahindi.
Asante kwa michango.