Jamani Nina tatizo moja sehemu ya lips zangu za mdomo huwa kuna bandukabanduka na wakati mwingine ukioga vinatokea vitu vyeupe baadae vinakauka na kuchubuka nakuacha mdomo ukiwa na rangi nyekundu nimetafuta dawa mpaka basi ushauri wenu jamani
Jamani Nina tatizo moja sehemu ya lips zangu za mdomo huwa kuna bandukabanduka na wakati mwingine ukioga vinatokea vitu vyeupe baadae vinakauka na kuchubuka nakuacha mdomo ukiwa na rangi nyekundu nimetafuta dawa mpaka basi ushauri wenu jamani