Msaada!

Utamuweza huyo dearest..yani ukijibu salamu yake tu unamtaka!

nafurahi nawewe unamuelewa Klooro dearest.....uzuri wake ana damu ya kupendwa na sisi.....Kloro ooohhh!!
 
Hii kwetu huku naona hawezekani, utawekwa vikao mpaka akili ikukae sana, yani wote hao mpaka umuone aliyekuwa wa nduguyo? nina imagine ukoo wangu wanaweza kukula nyama
 
jamani Lizzy,ni heshima kubwa sana dearest wangu....kwa moyo wangu,akili yangu na mwili wangu nitakubali kuwa maid of honour....sema lingine....!!!!
Asante sana dearest kwa kukubali!Ombi lingine ni kwamba Kloro awe kushoto kwako siku hiyo!Nampa ujiko ili atoe zawadi ya maana!
 
ukihitaji kufahamu/kujua lolote kuhusu Kloro niambie....ndo mtu pekee namfahamu/mjua vizuri hapa JF.....you are welcome dear :juggle:
hakyanani ukifuja CV langu nakuloga. nakuvimbisha tumbo bila ujauzito. hapa niko serious kabisa
 
good girl! kodi yako ya nyumba mwezi huu nitalipa mimi. na kahela ka saloon pia.

Kumbe unakamatika kirahisi hivyo?Hehe kodi unalipa wewe kukaa anakaa .......!Nakuja kesho kuchukua kodi!
 
Asante sana dearest kwa kukubali!Ombi lingine ni kwamba Kloro awe kushoto kwako siku hiyo!Nampa ujiko ili atoe zawadi ya maana!

ombi limekubaliwa dearest....alivyo mzuri sipati picha,shalobaro Kloro atakavyong'arisha picha.....umempa hiyo nafasi atakuja kuomba hela sasa hivi tukununulie range.....Lizzy hunionei huruma,wajua mimi ndo namtunza huyo shalobaro,anipe mtoto basi....anyway,kwakuwa ni wewe chochote atakachotaka tutakupa....:washing:
 
nafurahi nawewe unamuelewa Klooro dearest.....uzuri wake ana damu ya kupendwa na sisi.....Kloro ooohhh!!

Pamoja na uchungu wake wote!Kweli bahati ya Kloro wengine wasiilalie barazani!
 
hakyanani ukifuja CV langu nakuloga. nakuvimbisha tumbo bila ujauzito. hapa niko serious kabisa

samahani kaka....sitafanya hivyo....lilivyo kubwa sasa,ukilivimbisha sitaweza kutoka nje....:hatari:
 
Hii kwetu huku naona hawezekani, utawekwa vikao mpaka akili ikukae sana, yani wote hao mpaka umuone aliyekuwa wa nduguyo? nina imagine ukoo wangu wanaweza kukula nyama

Mmh sasa huo si uonevu Gaga?
 
Eti jamani kama msichana amewahi kuwa na mtu alafu wakaachana...huyo kaka akija kumuoa dada wa msichana ni sawa?Hapo wote wanajua na wameridhia sio kinyemela!

...dah, ndio kusema huyo jamaa anajua ladha zote...? Incest.
 

Hahaha utasuuza sana siku hiyo dearest!Ila sas we ungekua mwenyewe ungenipa zawadi gani maana unaogopa Kloro asijesema Range..tena sport!
 
Kwa Wajaluo mbona ni halali na kawaida kabisa?? Mila zinadumishwa, ati.
Lakini kupima ni muhimu!!
 
...dah, ndio kusema huyo jamaa anajua ladha zote...? Incest.

Si bora hawa wanakubaliana kuliko wale wanaotembea na mdogo mtu changanya na mama humo humo?
 
1.Hata chembe! 2. Aliyeachana maana ndiye aliyejulishwa na ex! Mwisho nimekua siriaz ili nisifanane na mtu fidenge!

kwa majibu uliyotoa naconclude hivi
1) hakuna unafik katika maridhiano, hivyo hakuna mtego wowote ambao unaweza kuwa umetegwa ili kuchafuliana jina kwa msingi wa gubu lililojificha baina ya ndugu wawili.
2) ndugu wana mapenzi ya dhati baina yao, hivyo wanapasiana hili jibaba sio kwa matatizo bali ni kwa dharura tu ambayo imemfanya dada wa kwanza aachane nae.
3)aliemuapproach mwenziwe ni alieachana nae hivyo tayari ana analysis nzuri ya mdogo wake na ya mwanaume na amejua kwamba wataendana, hivyo ameamua kuwaconnect.
4) sikuuliza baraka za wazee, lakini nadhani tayari zipo kutokana na majibu yako
5) miaka miwili ya kuachana tayari inatosha kupima moyo wa mdada alieachana na mkaka, kama bado ana mapenzi nae au hana tena? kama kasema hamfeel tena, green light.

CONCLUSION

Hii ndoa imepata baraka za klorokwini naomba lily flower ukaanzishe sredi la mchango wa hii harusi. kinamama tunaomba vigelegele.

sred klosed.
 
Reactions: Mbu
Hahaha utasuuza sana siku hiyo dearest!Ila sas we ungekua mwenyewe ungenipa zawadi gani maana unaogopa Kloro asijesema Range..tena sport!

Itakuwa surprise dearest.....am sure utaipenda sana!!! 9t 9t dearest!!
 
jamani si sawa kabsaa...ina maana huyo mkaka alikuwa anamtamani/kumpenda dada b4 hawajabreak?yeye dada pia anaona ni sawa kweli?kwanza ni swala la aibu na si utamaduni mzuri
 
Kloro asante kwa analisis na konklusheni iliyosimama!Yuu aa ze besti!Sasa mchango wako utakuwepo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…