WL kulikua hamna kutamaniana kabla!Ila kwa vyovyote vile naona kwenye kitabu chako itakua hairuhusiwi!jamani si sawa kabsaa...ina maana huyo mkaka alikuwa anamtamani/kumpenda dada b4 hawajabreak?yeye dada pia anaona ni sawa kweli?kwanza ni swala la aibu na si utamaduni mzuri
Loh!Haya ngoja nijitoe mhanga!Kloro nakuzimia..nisipoona post zako sichangamki..usipoquote zangu silali..usiponigongea senksi nanuna na ukiwagongea wengine nalia!
haya masuala ya utamaduni ndio yalotufanya mpaka leo tunaota ma mvi tuna miaka 30. wewe kama dadaake lizzy na lizzy mwenyewe washaridhia nibalance equation. sasa mila ya nini tena?. wiselady unanilet down banajamani si sawa kabsaa...ina maana huyo mkaka alikuwa anamtamani/kumpenda dada b4 hawajabreak?yeye dada pia anaona ni sawa kweli?kwanza ni swala la aibu na si utamaduni mzuri
WL kulikua hamna kutamaniana kabla!Ila kwa vyovyote vile naona kwenye kitabu chako itakua hairuhusiwi!
kuna jamaa leo kwenye matangazo ya vifo alikuwa na jina kama hilo red. msiniquote vibaya wajameni!lizzy hueleweki bana,,,vile cipiyu hayupo unamzimia kloro dah!kuna haka kawifi kangu micheli akicheza tutamchukua dadake:coffee:
haya masuala ya utamaduni ndio yalotufanya mpaka leo tunaota ma mvi tuna miaka 30. wewe kama dadaake lizzy na lizzy mwenyewe washaridhia nibalance equation. sasa mila ya nini tena?. wiselady unanilet down bana
kuna jamaa leo kwenye matangazo ya vifo alikuwa na jina kama hilo red. msiniquote vibaya wajameni!
khaaaa! hii sredi ilikuwa tego nini?Kloro asante kwa analisis na konklusheni iliyosimama!Yuu aa ze besti!Sasa mchango wako utakuwepo?
halaf huyu lizzy inaonekana wazee wake wanajiproud kweli kwamba mtoto wao kajiunga JF na anapost sred jukwaa la MMU. sifafanui zaidi ya hapakloro nimeongea kumridhisha lizzy maana naona bado anampenda jamaa though anasema kamwachia sisy,,c unamjua lizzy kwa bifu asije mgeuka dadake baadae
au inawezekana kafeki kifo baaada ya kudaiwa hela ya saloon na lizzy. mafukara wakipendana bana! dah!uuuuwi!umeshtua mbavu zangu usiku huu!!kweli ww ni klorokwin,,,loz!uliskia saa ngapi maana alikuwepo mpaka saa 12 ??
WL tulia bwana..Kloro ntampeleka wapi sharobaro huyu?Hata mia ya kumhong sina!
au inawezekana kafeki kifo baaada ya kudaiwa hela ya saloon na lizzy. mafukara wakipendana bana! dah!