msaada

Cha kufanya nenda hospitali ukaonane na mtaalamu wa ngozi akushauri dawa ipi ni sahihi!! au ukiona vipi nenda kwa wale wa tiba mbadala utumie vitu asilia
 
Cha kufanya nenda hospitali ukaonane na mtaalamu wa ngozi akushauri dawa ipi ni sahihi!! au ukiona vipi nenda kwa wale wa tiba mbadala utumie vitu asilia
Sure, maana kutumia vitu kwa kuelekezwa kienyeji sio poa. Maana ngozi zinatofautiana. Mwengine anaweza akatumia tiba flani ikamsaidia lkn tiba hiyo hiyo inaweza isikusaidie.
 
Sure, maana kutumia vitu kwa kuelekezwa kienyeji sio poa. Maana ngozi zinatofautiana. Mwengine anaweza akatumia tiba flani ikamsaidia lkn tiba hiyo hiyo inaweza isikusaidie.
Ndio kiongozi, wataalamu wana majibu sahihi kuliko hapa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…