sima salva official
JF-Expert Member
- Jun 21, 2017
- 210
- 89
mi nina chunisi ambazo zinanipa maumivu usoni nitumie nini ili nipone
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sure, maana kutumia vitu kwa kuelekezwa kienyeji sio poa. Maana ngozi zinatofautiana. Mwengine anaweza akatumia tiba flani ikamsaidia lkn tiba hiyo hiyo inaweza isikusaidie.Cha kufanya nenda hospitali ukaonane na mtaalamu wa ngozi akushauri dawa ipi ni sahihi!! au ukiona vipi nenda kwa wale wa tiba mbadala utumie vitu asilia
Ndio kiongozi, wataalamu wana majibu sahihi kuliko hapaSure, maana kutumia vitu kwa kuelekezwa kienyeji sio poa. Maana ngozi zinatofautiana. Mwengine anaweza akatumia tiba flani ikamsaidia lkn tiba hiyo hiyo inaweza isikusaidie.