Mpigadili Tz
JF-Expert Member
- May 4, 2015
- 1,093
- 2,046
Habari Wakuu, kuna Gari ya Best yangu ina tatizo moja... Ni kwamba ile Gari ukiweka maji katika Rejeta ((samahani kwa kuandika kama inavyotamkwa)) alafu ukiiwasha Maji yanaruka kutoka katika Rejeta kwenda nje kama lita 2.5-3 kwa wakati mmoja kiufupi ukiiwasha kama kuna Pump inayoyatoa yale Maji katika Rejeta kwenda nje hata kama ukiizima na ikapoa kabisa ukitia Maji alafu ukiwasha mwendo ule ule... Tatizo hili lilianza Gari ilikua Temperature inapanda sana akaenda kwa Fundi akayafanya ya kuyafanya ikatulia kama siku kadhaa ikaanza tatizo hili sasa... yule Bwana kahangaika weeee matokeo yake kakata tamaa maana tatizo haliishi naombeni msaada juu ya hili.
AHSANTENI
AHSANTENI