Daud Johnson
Member
- Apr 9, 2018
- 41
- 14
Kwa sababu unaweka taarifa zako kwenye jukwaa la mahusiano na hizo sms zikija zinakuwa kwenye mahusiano badala ya kuja Inbox.
Okay, lakini mbona hata kwenye jukwaa husika sizioni mkuu?
Tatizo ni nini mkuu?kawaida hata mi inanitokeaga
hata mi sijui ni kwannTatizo ni nini mkuu?
Okay, ila ni mara ya pili sasa na sijafanikiwa kuona hata mojaZitakuja subiri huwa zinachelewa kwa sababu ya mtandao.
Huyo ni demu tu kakuzimikia humu anaku-PM hata mimi ilikuwa hivyo sms inakuja na kupotea baadae nikaja kupata sms kamili sasa.Okay, ila ni mara ya pili sasa na sijafanikiwa kuona hata moja
Duh!hata mi sijui ni kwann
Endelea kufurahi ila utakuja kusema mimi ni Nabii huyo ni Demu kakupenda.Hahaha! Umenifurahisha aisee... Sasa dem anasababishaje hili? Coz hata sioni ujumbe wowote
Huyo ni demu tu kakuzimikia humu anaku-PM hata mimi ilikuwa hivyo sms inakuja na kupotea baadae nikaja kupata sms kamili sasa.
Endelea kufurahi ila utakuja kusema mimi ni Nabii huyo ni Demu kakupenda.