MSAADA

MSAADA

Genisys

Senior Member
Joined
Oct 14, 2015
Posts
159
Reaction score
93
Habari wakuu!

Naomba kupata MSAADA kisheria kwenye Hili. Kwa kawaida tunatakiwa kutumia Majina matatu kama utambulisho kwetu. Mfano. John Azra Lema. Vyeti vyangu vyote vya shule vina John Azra na Vitambulisho vyangu vya uraia vina John Azra Lema. Huwa linantatiza sana hili jambo. Naomba kupata ufafanuzi kisheria natakiwa kufanyaje ili niweze kupata ufanano wa majina kwenye vitambulisho vyangu.
 
kwani kuna shida? mbona mimi natumia majina mawili tu kwenye vyeti vya kitaaluma, na matatu kwenye vitambulisho na wala sina tatizo?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
kwani kuna shida? mbona mimi natumia majina mawili tu kwenye vyeti vya kitaaluma, na matatu kwenye vitambulisho na wala sina tatizo?

Sent using Jamii Forums mobile app

Mkuu kwangu issue iko hivi yaan natumia jina la kwanza na la Kati (First name na Middle name). Nafikiri kama ningekua natumia (First name na Surname) sidhani kama ingekua na shida.
 
Sawa Mkuu Asante. Napata mawazo mengine kwanza baadae ntaenda

Hakuna mawazo tofauti na hayo, unaenda kuapa kwamba majina hayo mawili, na majina hayo matatu ni ya mtu mmoja.

Kwa hiyo unapewa kiapo cha majina ambacho utakuwa una certify na kuambatanisha mahali itakapohitajika.
 
Hakuna mawazo tofauti na hayo, unaenda kuapa kwamba majina hayo mawili, na majina hayo matatu ni ya mtu mmoja.

Kwa hiyo unapewa kiapo cha majina ambacho utakuwa una certify na kuambatanisha mahali itakapohitajika.

Asante Mkuu
 
ni rahisi sanaa, kuna document inaitwa deed poll ambayo ukitaka kubadikisha/kuongezea/kurekebishia majina hufuatwa, then baadae utaipeleka kwa msajili wa nyaraka za serikali baada ya kuandaliwa na kuliwa kiapo chini ya kamishina wa viapo/wakili.
 
Back
Top Bottom