Genisys
Senior Member
- Oct 14, 2015
- 159
- 93
Habari wakuu!
Naomba kupata MSAADA kisheria kwenye Hili. Kwa kawaida tunatakiwa kutumia Majina matatu kama utambulisho kwetu. Mfano. John Azra Lema. Vyeti vyangu vyote vya shule vina John Azra na Vitambulisho vyangu vya uraia vina John Azra Lema. Huwa linantatiza sana hili jambo. Naomba kupata ufafanuzi kisheria natakiwa kufanyaje ili niweze kupata ufanano wa majina kwenye vitambulisho vyangu.
Naomba kupata MSAADA kisheria kwenye Hili. Kwa kawaida tunatakiwa kutumia Majina matatu kama utambulisho kwetu. Mfano. John Azra Lema. Vyeti vyangu vyote vya shule vina John Azra na Vitambulisho vyangu vya uraia vina John Azra Lema. Huwa linantatiza sana hili jambo. Naomba kupata ufafanuzi kisheria natakiwa kufanyaje ili niweze kupata ufanano wa majina kwenye vitambulisho vyangu.