King’asti
Platinum Member
- Nov 26, 2009
- 27,855
- 24,925
Mtoto laanakum! Yaani uko tayari kuua wazazi ili ulelewe na lizzy? Lol
Hadija Mwanamboka ana kituo cha kulea yatima Kinondoni na huwa anahitaji volunteers(nitakuwekea contacts hapa hivi punde), na pia kuna yatima Uporoto ambaye atashukuru kupata malezi mazuri wa muda huo mfupi.