Mutta
Senior Member
- Mar 24, 2011
- 101
- 11
Rafiki yangu amekuja kuniomba ushauri mgumu,nikaamua niwashirikishe.Yeye ameoa ana miaka 6 kwenye ndoa ya kanisani.Hawana mtoto mpaka leo.Wameenda kupima yeye ni mzima ila mkewe ana matatizo{sijui kama ni ya kudumu au la}.Anataka kutoka nje ya ndoa ili apate mto to maana amejenga nyumba.Wote wana kazi ila mwanaume anachekwa kuwa labda jogoo hawiki.Je nimsaidieje au Ungekuwa wewe una tatizo kama hilo ungefanyaje?