Msaada!

Msaada!

Jichokuu

Member
Joined
Apr 28, 2012
Posts
48
Reaction score
1
Kuna mmama mmoja alikuwa akitumia pills zikamzingua akaziacha 1wk laterakaenda hspl kuweka loop yapata miezi 5 na ss anadalili za mimba(tumbo kujaa),je km ni mimba ni madhara yapi yatampata mtt?
 
Back
Top Bottom