msaada

msaada

maria pia

JF-Expert Member
Joined
Jul 24, 2012
Posts
516
Reaction score
118
nina adivance diploma ya marketing,(frm CBE)natafuta kazi zaidi ya mwaka....msaada wenu wana jf
 
Fanya mpango upate degree labda hiyo elimu haitoshi, siku hizi ushindani mkubwa sana mkuu.
 
ukiona njia moja inakataa jaribu njia nyingine usipende kungangania njia moja halafu jaribu kuangalia na mfumo unao tumia kuomba hizo na ukaweza kufanya tathimini nini kinakukwamisha but best wishes
 
Fanya mpango upate degree labda hiyo elimu haitoshi, siku hizi ushindani mkubwa sana mkuu.

Mkuu namalizia masters yangu,npo kwny research bt nikiomba natumia hyo coz sehem nyingi ukiomba na masters wanazingua
 
Back
Top Bottom