isack msemo
New Member
- Oct 9, 2012
- 4
- 0
jamani naomba mnisaidie wadau wa JF nilimaliza fm4 nikapata pass 2 nikasoma certificate nkaonganisha diploma ya procurement je nataka kusoma na degree nitakubaliwa na cheti cha fm4 kinakuwa akina kazi sana kwakuwa nina certificate