msaada

msaada

Professor of jungle

JF-Expert Member
Joined
May 24, 2012
Posts
422
Reaction score
802
nimechaguliwa UDOM nimeshafanya na usajili nimelipa na kiasi nachohtaji kuchangia ila nataka niachane na chuo nifanye application tena mwakani je inawezekana? mkopo naweza pewa kwa mara ya pili?
 
Subiria wadau waje kijana na mambo ya alam hatuhitaji hapa JF!
Hata mpaka kesho utapata majibu mazuri tu!
 
Back
Top Bottom