Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
..just few day,ingawa mi sio dokta cha msingi akiwa hana maumivu,mambo yanaendelea. kama anamaumivu na kisaikolojia hajakaa njema apewe muda wa kupumzika...
..just ask, i had the same experience with my wife, nikishindwa watanisaidia wengine..Kwa kuwa sio dk, naogopa kukuuliza swali la ufahamu. Thanx though
..sio kweli, bali ata kaa mpaka mwili uadjust na kujua kwamba hakuna kiumbe tumboni,baadaye sikumbuki muda exactly lakini nadhani hutegemea mwili unarecover haraka kiasi gani,hapo ataanza kupata siku zake kama kawaida,there is when she can conceive again. sijui kama nimejibu vizuri wataaluma wataongezea..Ok Gefu nasikia ukitoka ktk hali hiyo kizazi kinakuwa wazi hivyo kuna uwezekano mkubwa wa ku consive tena.
..just few day,ingawa mi sio dokta cha msingi akiwa hana maumivu,mambo yanaendelea. kama anamaumivu na kisaikolojia hajakaa njema apewe muda wa kupumzika...