Msaada

Dodo18

JF-Expert Member
Joined
Feb 26, 2011
Posts
315
Reaction score
93
Mzee wameuza nyumba yao ya familia na ndungu zake, ana mpango wa kutugawia watoto wake wawili 10 million each tuanzie maisha.. Sasa sijui nifungue M-pesa na Tigo pesa ya kisasa? Sijui itanilipa au nitapoteza hela tu maana nitakua na mtaji wa kutosha.. Pls nisaidieni kwa mawazo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…