msaada

kagossey7

Member
Joined
Jan 5, 2014
Posts
27
Reaction score
0
Naomba mnisaidie wadau najihs naumwa lakin cjui ni ugonjwa gan! Ila nina dalili hizi kwanza shahaw zangu znatoka zkiwa nzito af kama znafutika flan na nakojoa mkojo yellow yellow hiv na maumivu wakat wa kukojoa nisaidien et unaweza kuwa ni ugonjwa gan?
 

Uko poa tu, kunywa maji lita 2-3 kwa siku..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…