Habari za humu jaman,Ninaomba msaada kwa anayejua vyuo vya serikali vinavyotoa diproma ya crinical officer anijuze tafadhar....kuhusu ufahulu nimemaliza form six nina two ya 12 CBG ila nina F ya BAM,zaid nilichaguliwa kusoma ualim pale UDSM sikwenda mwaka jana kwan ilikuwa so fan yangu kwa sasa napiga tempo hapahapa Tanzania