selebravekid
Member
- Apr 22, 2014
- 13
- 5
Mwenye ufahamu kuhusu dawa ya kukosa haja kubwa kwa mtoto wa mwezi mmoja na wiki mbili. Mana leo ni siku ya tatu hajapata haja kubwa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
No usimpe dawa yoyote mpaka baada ya week ndio unaweza tafuta tiba Mara nyingi ni kawaida kwa watoto wachanga hasa wakianza kutumia maziwa ya kopo
Muda bado mpaka miez miwil au mitatu
Hakuna tatizo Dada Mimi wangu anamiezi minne kuna muda anakaa hadi cku 10 hajapata choo.nimeshampeleka hospital doctor akasema hakuna tatizo nijambo la kawaida maziwa anayonyonya yote anajenga mwili so hakuna mabaki ya kutoka kama uchafu
Cha kunishangaza ni kwamba anajamba mara kwa mara na harufu inakua kali. Pia anajinyonga nyonga...
Muda bado mpaka miez miwil au mitatu