msaada

msaada

fazam

JF-Expert Member
Joined
Feb 6, 2014
Posts
1,855
Reaction score
1,283
kuna mfanyakazi wa shirika la posta...alifariki akiwa kazini(hajastaafu)...lkn katika kufuatilia mafao...shirika limesema lenyewe halitoi aina yeyote ile ya mafao...ninavyojua ni shirika la umma.....je ni kweli au pesa zimeliwa na wajanja.......msaada wa mawazo
 
Back
Top Bottom