Mbalamwezi1
JF-Expert Member
- Dec 20, 2013
- 2,073
- 2,026
Habari zenu waheshimiwa mabibi na mabwana.....
Mimi ni kijana wa kiume,tatizo langu ni maumivu ya nyonga yananisumbua sana,nikiinama shida,nimejaribu kufanya mazoezi ya nyonga lkn bado.Wakuu naombeni msaada wenu wa mawazo au km kuna hospital ambayo naweza pata huduma kutokana na tatizo hili ntashukuru sana!
Mimi ni kijana wa kiume,tatizo langu ni maumivu ya nyonga yananisumbua sana,nikiinama shida,nimejaribu kufanya mazoezi ya nyonga lkn bado.Wakuu naombeni msaada wenu wa mawazo au km kuna hospital ambayo naweza pata huduma kutokana na tatizo hili ntashukuru sana!